Genesis 35:18
18Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe Benoni. ▼▼ Benoni maana yake Mwana wa huzuni yangu.
Lakini babaye akamwita Benyamini. ▼▼ Benyamini maana yake Mwana wa mkono wangu wa kuume.
Copyright information for
SwhKC